Description
India, New Delhi
High Commissioner
Balozi Mhandisi John William Herbert Kijazi amekuwa mwakilishi wa Tanzania nchini India, Singapore, Sri Lanka, Bangladesh na Nepal mwenye makazi yake jijini New Delhi, India kuanzia mwaka 2007 - 2016 na hivyo kumfanya kuwa Mkuu wa Mabalozi wote wanaowakilisha Tanzania nje ya nchi.
Kabla ya kuwa balozi, Mhandisi Kijazi alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na baadaye Wizara ya Maendeleo ya Miundombinu kuanzia mwaka 2002 hadi 2006, baada ya kuteuliwa kuwa Balozi ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano waKimataifa na hatimaye kupangiwa kituo cha New Delhi, India.
Kati ya mwaka 1996 hadi 2002, Mhandisi Kijazi alikuwa Mhandisi Mwandamiziwa Ujenzi wa Barabara ndani ya Wizara ya Ujenzi kabla ya kupandishwa cheo na kuwaMkurugenzi wa Barabara za Mikoa ndani ya Wizara hiyo hiyo.
Balozi Mhandisi Kijazi alipata Shahada ya Sayansi ya Uhandisi wa Umma mwaka 1982 kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam, na baadaye Shahada ya Uzamili katika Uhandisi wa Barabara Kuu kutoka Chuo Kikuu cha Birmingham, Uingerezamwaka 1992.
Balozi Mhandisi John Kijazi amemuoa Fransiscar Kijazi na pamoja wamejali wa watoto watatu, David, Emmanuel na Richard Kijazi.
Education
- Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
- Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
Career
- 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
- 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
- Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
- Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
- Jun 2007 – High Commissioner to India
- 27 May 2013 – High Commissioner to Singapore